Ijumaa, 23 Desemba 2016

Osca katimkia china sasa ndiye mchezaj ghari

Nyota Mbrazil, Oscar akiwa ameshika jezi ya Shanghai SIPG ya China kufuatia kujiunga nayo kwa dau la Pauni Milioni 52 kutoka Chelsea ya England. Oscar sasa atakuwa analipwa Pauni 400,000 kwa wiki timu hiyo ya Ligi Kuu ya China na kuwa mchezaji anayelipwa zaidi duniani

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni