Baada ya kumaliza mkataba wake na klabu ya Yanga mchezaji Mbuyu Twite ambaye anaweza kucheza kama kiungo amejiunga na
timu ya Fanja ya Oman.
Twite amesha anza mazoezi na timu yake hiyo ya mjini Muscat Oman, Twite aliutumikia klabu ya Yanga kwa miaka minne, mchezaji mwingine ambaye ni Mtanzania anayeichezea Fanja ni mshambuliaji Danny Lyanga wa Simba ambaye yuko kwa mkopo katika timu hiyo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni