Mchezaji wa klabu ya Memelodi Sundowns ambaye ni golikipa Denis Onyango, raia wa Uganda na ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa wachezaji wa ndani, msimu uliopita wa mwaka 2015 tuzo hiyo alishinda Mtanzania Mbwana Samata.
Mchezaji bora kwa kina dada imeenda kwa Asisat Oshoala wa Liverpool na timu ya taifa ya Nigeria huku timu bora ya mwaka ikiwa ni Uganda.
A
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni